Watalaam wa simu na compyuta

Watalaam wa simu na compyuta

Joined
Jan 22, 2014
Posts
42
Reaction score
2
Baada ya ku unlock simu ya sumsung imepoteza network naombeni msaada wadau namna ya kurudisha network ya simu ambayo imekuwa lockedby carrier , simu yenyewe nisumsung windows phone nawasilisha
 
Baada ya ku unlock simu ya sumsung imepoteza network naombeni msaada wadau namna ya kurudisha network ya simu ambayo imekuwa lockedby carrier , simu yenyewe nisumsung windows phone nawasilisha

Hembu cheki Imei no km zipo dial *#06# maana huwa znahucka n network
 
RE: B2L hebu nisaidie IMEI zinahusikaje mbona nimecheck lkn bdo
 
Last edited by a moderator:
Je inaandika not registered to network au inakuaje mana zpoo solution nyng kutkna n tatzo lnywe
 
Ngoja niulize swali la kizushi.

simu ilikua locked inamaana ulikua huwezi kutumia mitandao ya tz, halafu ukaunlock umejuaje sasa kama ina tatizo la net? Maana inawezekana attempt yako ya ku unlock imefeli na network ipo locked bado vile vile.
 
Kuna possibility bdo simu ykooo iko locked jarib kuiunlock tenaaa
 
Back
Top Bottom