WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Kuna wengine hamtaweza kuwashughulikia na watajitokeza wakati ukifika na watachukua Nchi kuleta mabadiliko ya kweli na Lowasa si mmoja wao!Tumekusikia!, wengine tulisha washughulikia, na waliobaki, tutawashughulikia!, kufikia 2015, njia itakuwa nyeupe!.
Umdhaniaye ndiye....!, tegemeo lako tulisha li compromise zamani!, huyo umdhaniaye wala hatagombea!.Kuna wengine hamtaweza kuwashughulikia na watajitokeza wakati ukifika na watachukua Nchi kuleta mabadiliko ya kweli na Lowasa si mmoja wao!
Kila ukiona tuu ID mpya yoyote kumfagilia EL, ujue ni mimi!.Mkuu Pasco unataka kuzuga watu hapa jamvini lakini wengine tumekushakustukia siku nyingi. Sijui una ID ngapi hadi sasa za kumfagilia Kinara wa rushwa ndani ya magamba fisadi Lowassa.
Wana JF,
Nimefuatilia utendaji wa baadhi ya mawaziri wa sasa nikagundua kuwa wameweza kufanya maamzi magumu kama aliyokuwa nayo Lowassa. Lowassa anaamini katika maamzi magumu. Bahati mbaya kwake maamzi magumu ambayo amewahi kuyafanya yaliambatana na ufisadi na ubinafsi; wakati akiwa waziri mkuu alijitahidi kumbana magufuli ili asimfunike. Pia alijitahidi kumfunika rais JK. Lengo likiwa ni moja tu-urais 2015.
Sasa tunao mawaziri kama Magufuli, Mwakyembe, Muhongo, Kagasheki, Tibaijuka (?), wanafanya maamzi magumu tena katika mazingira magumu sana na wanafanikisha. Tofauti na lowasa ambaye alifanya maamzi magumu yakafanikiwa pakiwa na fedha za kutosha na akiungwa mkono vya kutosha na rais, mawaziri wa sasa wanafanya hivyo katika mazingira magumu sana na wanafanikisha; tofauti ya pili ni kwamba lowasa aliambatanisha maamzi hayo na maslahi yake binafsi.
Bahati mbaya kwa Lowasa, kukubalika kwake ni ndani ya chama cha mapinduzi tu. Hii ni kwa sababu huku vijijini ukitaja jina la Lowassa, mtu analii-equate na ufisadi. Tegemeo lake limebaki kwa wanaccm ambao nao hawashawishiki bila pesa lakini mawaziri hawa hawana kashfa za ufisadi. Hii sasa itawafanya waccm waanze kumsahau Lowassa kwa sababu mawaziri hawa nao wanafanya maamzi magumu kama yeye alivyofanya. Ikumbukwe kwamba Lowassa alipata umaarufu kwa kile kilichodaiwa kuwa ni mtu wa maamzi magumu.
Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa maadui wakuu wa Lowassa katika juhudi zake za kuwania urais kupitia CCM ni hawa mawaziri.
Lowassa ana nguvu ndani ya nyinyiem zaidi ya breakdown, lakini hana nguvu hata kidogo ya kupambana na Slaa mwaka 2015.
Atasafishwa na kutakata kama theluji!. Atang'arishwa na kung'aa kama kioo!, atameremeta kama nyota!, atatoa nuru kama mbalamwezi na kutoa mwanga kama jua!, its only a matter of time!.Kimsingi anayemzuia lowassa ni uchafu na ufisadi unaolizunguka jina lake na wasifu wake kama mwanasiasa.
Wana JF,
Nimefuatilia utendaji wa baadhi ya mawaziri wa sasa nikagundua kuwa wameweza kufanya maamzi magumu kama aliyokuwa nayo Lowassa. Lowassa anaamini katika maamzi magumu. Bahati mbaya kwake maamzi magumu ambayo amewahi kuyafanya yaliambatana na ufisadi na ubinafsi; wakati akiwa waziri mkuu alijitahidi kumbana magufuli ili asimfunike. Pia alijitahidi kumfunika rais JK. Lengo likiwa ni moja tu-urais 2015.
Sasa tunao mawaziri kama Magufuli, Mwakyembe, Muhongo, Kagasheki, Tibaijuka (?), wanafanya maamzi magumu tena katika mazingira magumu sana na wanafanikisha. Tofauti na lowasa ambaye alifanya maamzi magumu yakafanikiwa pakiwa na fedha za kutosha na akiungwa mkono vya kutosha na rais, mawaziri wa sasa wanafanya hivyo katika mazingira magumu sana na wanafanikisha; tofauti ya pili ni kwamba lowasa aliambatanisha maamzi hayo na maslahi yake binafsi.
Bahati mbaya kwa Lowasa, kukubalika kwake ni ndani ya chama cha mapinduzi tu. Hii ni kwa sababu huku vijijini ukitaja jina la Lowassa, mtu analii-equate na ufisadi. Tegemeo lake limebaki kwa wanaccm ambao nao hawashawishiki bila pesa lakini mawaziri hawa hawana kashfa za ufisadi. Hii sasa itawafanya waccm waanze kumsahau Lowassa kwa sababu mawaziri hawa nao wanafanya maamzi magumu kama yeye alivyofanya. Ikumbukwe kwamba Lowassa alipata umaarufu kwa kile kilichodaiwa kuwa ni mtu wa maamzi magumu.
Kwa hiyo, tunaweza kusema kuwa maadui wakuu wa Lowassa katika juhudi zake za kuwania urais kupitia CCM ni hawa mawaziri.
,
membe atafaa sana lakini ni lazima ahamie Chadema kama kweli anataka uraisi,tajilaga nneyo anjomba wa kwirondo!
Lowassa ana nguvu ndani ya nyinyiem zaidi ya breakdown, lakini hana nguvu hata kidogo ya kupambana na Slaa mwaka 2015.
Atasafishwa na kutakata kama theluji!. Atang'arishwa na kung'aa kama kioo!, atameremeta kama nyota!, atatoa nuru kama mbalamwezi na kutoa mwanga kama jua!, its only a matter of time!.