James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Tunataka atawale mpaka 2030. Ikibidi hsya katiba ibadilishwe tumpe mwanya. Mama Samia ni hazina ya taifa.Zanzibar nayo ni nchi! Arudi akagombee huko. Hussein Mwinyi ni mtu muungwana na muelewa sana. Atakubali tu kumuachia.
Ila kwa huku Tanganyika, namuomba atuachie nchi yetu. Maana kuna Watanganyika wengi tu wenye sifa kuliko yeye raia wa Visiwani.