Hivi karibuni kulitokea mvutano Bungeni kati ya Tundu Lissu na Spika wa Bunge.Baada ya mvutano ule Tundu Lissu alianza kuchangia hoja ya Mbatia kuhusu Prof. Lipumba.
Siku hiyo nilikuwa nyumbani nilipata wageni mmoja wa wageni hao alikuwa mlemavu wa kutoongea anayeweza kuandika na kutafsiri lugha za alama.
Wakanikuta natazama TBC1 bunge. Tundu Lissu alipomaliza kumwaga point nilimwandikia kikaratasi yule mlemavu kumuuliza msemaji alikuwa amezungumza nini( lengo lilikuwa kutest kama wale wakalimani wa lugha za alama hawapotoshi.
Ukweli ni kuwa wanadanganya sana. Yule mkalimani wa TBC alikuwa anawadanganya watu wa Lugha za alama kuwa Tundu Lissu ameipongeza serikali kwa maendeleo ya Watanzania.
Kwakuwa hawa walemavu nao ni wapiga kura, wanadanganywa sana wakiaminishwa CCM ndio kila kitu na wakati wa kupiga kura wanaipigia CCM.
UKAWA anzisheni TV Zenu.
Siku hiyo nilikuwa nyumbani nilipata wageni mmoja wa wageni hao alikuwa mlemavu wa kutoongea anayeweza kuandika na kutafsiri lugha za alama.
Wakanikuta natazama TBC1 bunge. Tundu Lissu alipomaliza kumwaga point nilimwandikia kikaratasi yule mlemavu kumuuliza msemaji alikuwa amezungumza nini( lengo lilikuwa kutest kama wale wakalimani wa lugha za alama hawapotoshi.
Ukweli ni kuwa wanadanganya sana. Yule mkalimani wa TBC alikuwa anawadanganya watu wa Lugha za alama kuwa Tundu Lissu ameipongeza serikali kwa maendeleo ya Watanzania.
Kwakuwa hawa walemavu nao ni wapiga kura, wanadanganywa sana wakiaminishwa CCM ndio kila kitu na wakati wa kupiga kura wanaipigia CCM.
UKAWA anzisheni TV Zenu.