Wataalamu wa Web Designing na Development mnatoa ushauri gani hapa?

miamiatz

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
504
927
Habari wakuu.

Sekta ya Web Design imetekwa na utitiri wa themes na templates zinazotumika kwenye cms na frameworks mbalimbali.

Katika pita pita yangu nilichobaini asilimia kubwa ya hizi themes na templates zinajhitaji customization ya uhakika ili ziwe nyepesi wakati wa kuload.

Kuna site ni nzuri sana muonekano ila ni nzito mno kuload. Hapa designer anakuwa hakuitazama speed kama factor.

Ila kwa bahati mbaya ni kazi sana kubalance speed na muonekano. Ukiongeza muonekano ukawa mzuri zaidi speed inateremka.

Ili tusijikute kwenye mtego huu huwa inashauriwa kuchukua data mbalimbali na maoni ya wadau mbalimbali.

Please hebu chukua sekunde chache uload hii page www.miamia.co.tz na utoe maoni yako je design na speed vimebalance ama nini kirekebishwe?

Data zetu zinasema kuwa site inaload fully ndani ya sekunde tatu kwa reloads. Je, kwako imeload kwa sekunde ngapi kwa kukadiria?

Asante kwa maoni yenu.

Courtesy of miamiatz
 
Mkuu,

for some how hilo sio tatizo sana... Reload speed huwa inategemea vitu vingi mno....mbali na speed ya internet halikadhalika hata language iliyotumika nyuma ya pazia pia huwa inachangia

Mfano nimerun test ya web yangu kwa mara ya kwanza kwa kutumia net ya TIGO
na RELOAD RANGE imekuwa 7.6-10.3s

Nikareload na HALOTEL
RELOAD RANGE imekuwa 0-3.44s

na hii web imekuwa build from scratch
 
Fully Loaded Time(test-1)
1.7s
Fully Loaded Time(test-2)
2.0s
Fully Loaded Time(test-3)
1.7s
Fully Loaded Time(test-4)
1.5s
Fully Loaded Time(test-5)
1.5s

Nafikiri speed inategemeana kwa pande zote yaani upande wa website na network(mtandao) unaotumia.

Angalia hizo test tano nimeanza kwa 1.7, baadae ikanipa 2 baadae
ikanipa 1.7 kisha 1.5 kisha 1.5 average ni 1.68s si mbaya, kwa wenye mtandao mzuri hii ni spidi nzuri.

Lakini hii theme ni yakizamani badili, userbility yake sio nzuri.
 
Back
Top Bottom