Martine Tibe
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 221
- 156
Nilinunua simu feki ya iPhone 6 mnadani kwa laki 4. Sasa naomba mnielekeze ni simu ipi nzuri ya iPhone (ngapi) na Samsung (ngapi).ili niweze kununua mpya dukani ikiwemo RAM, display nk.
Ahaaaa.IPhone kuanzia iPhone 6 na kuendelea ni nzuri kutegemea na mfuko wako
Sawa ngja niangalieIngia humo uone Bei na Specification ya simu zote
GSMArena.com - mobile phone reviews, news, specs
GSMArena.com - The ultimate resource for GSM handset informationm.gsmarena.com
Kwa sasa nashauri ukinunua iphone anzia na 6s kwenda juu maana chini ya hapo haziwi supported tena, hivyo hutapata updates. Mfano iOS 13 inakubali kuanzia 6s kwenda juu.Nilinunua simu feki ya iPhone 6 mnadani kwa laki 4. Sasa naomba mnielekeze ni simu ipi nzuri ya iPhone (ngapi) na Samsung (ngapi).ili niweze kununua mpya dukani ikiwemo RAM, display nk.
PowNipigie 0716119347. Nikuuzie simu zote kali kwa bei ya punguzo
aiseeNipigie 0716119347. Nikuuzie simu zote kali kwa bei ya punguzo
Bora apigwe tena maana kazidi mno kuuliza ulizaNa hapa utapigwaa tena kama mnadanii
IPhone kuanzia iPhone 6 na kuendelea ni nzuri kutegemea na mfuko wako
kama kigezo ni apdates basi hata hiyo 6s haifai.Kwa sasa nashauri ukinunua iphone anzia na 6s kwenda juu maana chini ya hapo haziwi supported tena, hivyo hutapata updates. Mfano iOS 13 inakubali kuanzia 6s kwenda juu.
Hahaaa braza sipigw tenaBora apigwe tena maana kazidi mno kuuliza uliza
IPhone kuanzia iPhone 6 na kuendelea ni nzuri kutegemea na mfuko wako