Wataalamu wa printer

Joined
Aug 31, 2017
Posts
30
Reaction score
33
Habari wadau. Nina printer yangu, epson L3210, Nozzle check ya printer Iko safi, nimefanya power cleaning mara kadhaa Ila Bado ukiprint kuna mistari midogo inaacha. Mistari myeupe ambayo inakata kwenye maandishi. Sio coloured lines, unprinted lines.
 

Attachments

  • IMG_20250611_112849_418.jpg
    588.7 KB · Views: 21
  • IMG_20250611_112811_840.jpg
    646.1 KB · Views: 20
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…