Wataalamu wa mtandao naaombeni msaada.

FADHILIEJ

Senior Member
Nov 5, 2010
132
18
Wana JF naombeni kama kuna mwenye utaalamu wa kutuma habari au taarifa kwenye mtandao anisaidie,namaanisha hata kama sina website,najua huenda suala hili likahitaji shule ya mda mrefu lakini just kupata ideas.

Ahasnteni.
 
Back
Top Bottom