Wataalamu madini na malikale MKUJE

Wataalamu madini na malikale MKUJE

The only

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2011
Posts
11,084
Reaction score
14,564
Wakuu nani ana idea ya soko la hili jiwe nimeliona mahali liko hivi

1.linarangi mingi kama rainbow

2.kwenye giza linangara(mimi sikulitest maana nililiona mchana)

3.linauhai linahifadhiwa kwenye unga na linawekewa mayai baada ya siku 3 yanatoka yakiwa matupu.(niliona mayai mawili matupu ndani na hayajavunjwa)

Mimi nilifata mawe ya vito ya kawaida kijijin congo ya kalemie .basi ndo nkadokezwa ishu hiyo na wanajipanga kulileta kwa matajiri Dar .

Nimejaribu wauliza mmelipataje ? Wanadai huwa linapatikana yakifa majoka ya kishirikina ya milima mirefu hukutwa mtoni.

Hebu kwa mnaojua niambieni huwa ni kwel na kama ni biashara inauzwa shilingi ngap.
NB: SIO BIASHARA YANGU NIMETAKA NIPATE KUJUZWA MAARIFA TU .USIJILETE INBOX SEMA TUJUE WOTE HAPA .Wanaotakaga inbox matapeli
 
Wakuu nani ana idea ya soko la hili jiwe nimeliona mahali liko hivi

1.linarangi mingi kama rainbow

2.kwenye giza linangara(mimi sikulitest maana nililiona mchana)

3.linauhai linahifadhiwa kwenye unga na linawekewa mayai baada ya siku 3 yanatoka yakiwa matupu.(niliona mayai mawili matupu ndani na hayajavunjwa)

Mimi nilifata mawe ya vito ya kawaida kijijin congo ya kalemie .basi ndo nkadokezwa ishu hiyo na wanajipanga kulileta kwa matajiri Dar .

Nimejaribu wauliza mmelipataje ? Wanadai huwa linapatikana yakifa majoka ya kishirikina ya milima mirefu hukutwa mtoni.

Hebu kwa mnaojua niambieni huwa ni kwel na kama ni biashara inauzwa shilingi ngap.
NB: SIO BIASHARA YANGU NIMETAKA NIPATE KUJUZWA MAARIFA TU .USIJILETE INBOX SEMA TUJUE WOTE HAPA .Wanaotakaga inbox matapeli
Picha?
 
Ukishasikia sijui "Majoka makubwa" na blah blah kibao ujue hamna kitu Cha maana hapo zaidi ya Stori.

Jamaa yangu pia alienda huko huko kwenye inshu za madini kaambiwa Kuna nyoka mkubwa Sana amelalia jiwe (dini, madini)
Ili umfikie huyo nyoka sijui utoe sadaka Fulani kama ufunguo wa kumfikia na ukifika pale anasogea kidogo unachukua kipanfe Cha Dini (Madini yenye thamani Sana)


Kufupisha stori mkuu ukishasikia habari za majoka hapo hakuna kitu cha maana zaidi ya Stori.

Ref Nyoka kuongea na Mwanamke kwenye Bustani
 
Utasaidiwa vipi bila picha au ndio umeweka ndoano wajinga wajitose
 
Bado watu mnafall for these stories maiaka ya leo? Kweli mazwazwa hawaishi duniani.
 
Lulu na Johari ni aina ya mawe yanayo patikana kwenye matumbo ya aina furani za samaki (Hasa Chaza) na pia kwenye jamii furani ya nyoka. (Ni nyoka, si majoka).
Lulu inang'aa ikitoa rangi tofauti.
Johari inatoa mwanga wa aina moja
(moonlight).

Madini hayo huokotwa porini, baharini, mtoni au kutolewa kwenye matumbo ya viumbe hao.

Ni kweli Madini hayo hula mayai ili kuendelea ku shine.( Yanang'aa gizani).
Hula mayai ma 3 mpaka 12
Yakikosa mayai au kupunguzia idadi baada ya muda hufa na kubaki kuwa jiwe la kuwindia ndege au kuchezea bao.

Yapo kwenye ukubwa tofauti, kuanzia punje ya mtama na zaidi.
Hakuna Utapeli kwenye biashara hiyo, ingawa wewe mwenyewe ukionyesha nia ya kutapeliwa, wakulungwa hawatakuacha🤣🤣 watapita na wewe🤣

Yana thamani isiyojulikana, maana mara nyingi bei anapanga mnunuzi kwakuwa hayauziki kwenye soko rasimi la madini ingawa sheria inataka iwe hivyo.

Mara nyingi wanunuzi wa madini hayo ni Waarabu, nadhani yana uhusiano na mambo ya mila na imani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom