baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 60
Mimi ni mjasiliamali kwa upande wa video shooting. Tatizo langu ni kwamba nime-edit video na baadae kui-burn. Sasa tatizo lake ni kwamba ina-freeze (kuganda), mteja wangu sasa kama vile kitanuka. Ndugu zangu hii kazi sasa ni kama miezi sita tangu nimeanza hivyo sijawa na utaalamu mkubwa. Hivyo naomba msaada wa jinsi gani naweza kufanya marekebisho katika movie hii,
nisaidieni jamani. Na sina shaka msaada jamvini ni kitu cha kawaida.
nisaidieni jamani. Na sina shaka msaada jamvini ni kitu cha kawaida.