Naona kwa sasa ndio haiwaki kabisaaa.. nilikua nategea niingie recovery hapo.inaonekana kama ni tatizo la hardware, kioo kimeharibika ama mkanda umelegea. kama ina warranty warudishie.
kujua zaidi ingia recovery kama bado mistari ipo itakuwa sio virusi wala tatizo la software.