New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,400
- 2,572
Wataalam kuna ndoto tata nimeota kwamba kuna mdogo wangu kafarik..asubui napigiwa simu na dada yangu kwamba kaota mimi na dada yetu mwingine tumefarik..tukamjulisha mama mzaz naye kasema ameota mtoto wa kaka yetu kafarik..Wote tumebak na kitendawili hatujui nini maana ya hizi ndoto...