Nyamulekwetu
Member
- Feb 17, 2016
- 38
- 11
Ninaomba kujua kama destop computer ina Wifi? Na kama ipo iko sehemu? Mfano kwenye kwenye kompyuta mpakato huwa kuna alama ukibonyeza tu inawaka na kuendelea kutumia,lakin kwenye desktop computer siioni hyo alama kwenye keyboard km ilivyo kwenye labtop? Msaada waungwana