JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,261
jamani namimi natatizo moja la laptop yangu hp pavallion nc6000 hii? nikiwasha laptop inawaka taa za batani tu na kwenye screen hakuna mawasiliano yeyote na feni ya cpu inawaka nakukata inaleta mchezo wa kujiwasha na kujizima tatizonini nisaidiene kwenye hardware ni check nini hapo
Try to check processor!