Wadau wanaojua mambo ya kununua vitu online wanisaidie je hapo bei ya hizi bidhaa ni yepi maana inavyoandikwa kama hivi inanichanganya $500.000-1000.000
Nipeni uchambuzi na je nikiagiza bidhaa kama hiyo itafika TZ na je kutakiwa na kodi yoyote.
View attachment 901316