H1N1
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 4,217
- 1,579
Nanyi mnaousema furani Hana washauri mnaamana hata kichwa chake hakina halmashauri au daraja la kuunganisha kifua na kichwa kimevunjika imebakia kipisi kinachoishia mdomoni kiasi kwamba jambo likitoka moyoni linakwenda Moja kwa Moja mdomoni ?!?!Mkubwa umeongea hata ile sherehe ya kutimiza mwaka mmoja ya ukuu wa mkoa ni kiashirio tosha wachilia mbali madudu mengine but Rais Magufuli hana washauri ?
Kipimo cha afya ya akili kwao ni muhimu sana