tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
BASHITE = Baba wa Sifuri Hai Iliyopo Tanzania katika Elimu.
Afungiwe kivipi? Jaribu kuficha njaa yako kwanza kwani kati ya Gwajma na makonda ni nani alimuanza mwenzake? Umesahau kuwa makonda ndiyo mchokozi? ulitaka Gwajma abambikiwe kesi atulie tu afanyiwe unyama akae kiimya tu? Acha kuishi kwa fikra za Daud, tambua kuwa Gwajma alipigwa na makonda na yy sasa kaamua kujihami kwa nguvu zote na hahitaji ufadhili wowote kwani hana njaa kama yako, Gwajma ana haki ya kujitetea kwa njia zote kwani amechokozwa sana na bado shilawadu akataka kutumika kukoleza uchokozi lazima utetezi juu ya Udikteta wa makonda uzidishwe ili iwe fundisho kwa watu wajinga wajinga kama makonda DaudiKabla hajachunguzwa akili yake ni lazima Gwajima afungiwe kanisa lake, nyumba ya Mungu huwezi kwenda kuhubiri siasa chini ya ufadhiri wa wauza unga.
Kwa sasa Daud hana tofauti na profesa maji marefu au kibajaji kwani vyeti vyake vya o-level ni zero tupu hivyo huyo ni darasa la 7 tu asijidai kujiita msomi wakati matendo yake kuanzia kumpiga Mzee warioba kutukana watu na kuvamia clouds kijambazi.BASHITE = Baba wa Sifuri Hai Iliyopo Tanzania katika Elimu.
Njia pekee ni magufuli kumfukuza kisha akutane na kesi mitaani afungwe jela apate kujifunza kuwa Duniani ukitenda ubaya malipo yapo hapa hapa Duniani.Kweli kabisa hata mimi nimeliona hili kwa vituko anavyofanya huyu dogo anahitaji ushauri nasaha maana kafanya vituko sana marankulia mara kuvamia jamani watanzania muokoeni huyu
Yupo zero mpaka kitandani kashindwa kumzalisha mwanamke wake, hana mtoto hata wa kusingiziwa tu ni Aibu jitu zima halina hata mimba za kizushi, kashindwa kuongoza familia ataweza kuongoza jiji kubwa kama Dsm?Isitoshe Bashite ana historia ya kupata sifuri darasani kuanzia primary school, secondary mpaka chuo amemaliza kwa kubebwa! Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyu kiumbe
GSM leo wamemwahidi Ruge milion 400 ili kumpoza asifungue kesi ya kuwavamia na Bunduki, kufa kufaana sasa clouds wanakula pesa zake kwa ujinga wake.Kweli kwa akili zako chache hata ulivyo angalia ile clip unaona kabisa kuna uvamizi?
Hakika mme chezeshwa kama watoto na mnacheza tuuu
Ha ha ha kumbe kutumia vyeti vya MTU mwingine ili kuipata degree ni siasa eehKabla hajachunguzwa akili yake ni lazima Gwajima afungiwe kanisa lake, nyumba ya Mungu huwezi kwenda kuhubiri siasa chini ya ufadhiri wa wauza unga.
Mna muonea BureKweli kabisa hata mimi nimeliona hili kwa vituko anavyofanya huyu dogo anahitaji ushauri nasaha maana kafanya vituko sana marankulia mara kuvamia jamani watanzania muokoeni huyu
Kweli kwa akili zako chache hata ulivyo angalia ile clip unaona kabisa kuna uvamizi?
Hakika mme chezeshwa kama watoto na mnacheza tuuu
Huyu mtu anaumwa
Nakuaminia Mkuu kweli kabisa kwa staili ya kujifungia wawili masaa mengi wafanyacho anajua ibilisi haiwezekani kumbadilisha maana utabadiri hata MTU WA kujificha nae kwa kuwaogopa kinya GwajimaNa bado mpaka Utumbo utawatokea mdomoni lkn Makonda ni Mkuu wa Mkoa wa Dar mpaka 2020 kama hutaki hamia Shambani kwa Mbowe Rombo Mkuu huko shambani utakuwa na Bwana mmoja tu, Mbowe!
Hivi wewe akili za Bashite hujiulizi inakuwa Mange awe up to dated kila Mara namna hiyoMleta mada una ugonjwa unaoitwa Mange-Mania
Bwa bwa bwa...Yupo zero mpaka kitandani kashindwa kumzalisha mwanamke wake, hana mtoto hata wa kusingiziwa tu ni Aibu jitu zima halina hata mimba za kizushi, kashindwa kuongoza familia ataweza kuongoza jiji kubwa kama Dsm?
Kwa sisi wataalam wa saikolojia tunafaham kabisa binadamu anapoandamwa na matatizo flani kutoka ndani ya jamii inayomzunguka basi ubongo wake kufikia kushindwa kuhimili hisia za mwili wake hali inayompelekea kuishia kuugua maradhi ya akili, maradhi haya dalili zake hua Wazi kabisa ikiwemo kufanya mambo tofauti na utamaduni au mazoea ya mazingira yako ya kila siku kwenye jamii inayokuzunguka.
Watu wa aina hii kwanza husongwa na mawazo mfululizo, pili huhufikiria kila anayekutana naye anamtazama kama mkosaji, tatu mtuwa namna hii huindoa imani kabisa kwa binadamu wenzake kwa maana ya kwamba hakuna anayeweza kumsaidia,nne hujiona yuko kwenye ulimwengu wake peke yake na mara nyingine unaweza kumkuta anaongea peke yake na miungu yake, nne hufikia hata kutumia nguvu kubwa ili kulazimisha nafsi yake itulie kama ilivyokua awali kwa kuona afanyacho yeye ni sahihi.
Haiwezekani mtu mzima kiongozi unayetegemewa na umma katika kutatua matatizo yao uamke nyumbani kwako na kubeba vyombo vya usalama vyenye silaha za moto kwenda kuvamia ofisi za watu wasiokua na hatua tena muda wa usiku, huyu mtu anaumwa si bure! hili lazima liwekwe wazi.
Kiongozi mzima huwezi kubeba mtu mtaani mwenye matatizo ya akili ili kutengeneza uongo flani ufanikishe malengo yako, kiongozi wa aina hii kama sio mgonjwa wa akili basi ni hatari sana kwa ustawi wa jamii inayohitaji utulivu.Unapotengeneza uongo wa picha kumsingizia mtu faida yake nini? Hivi huwezi kupangilia propaganda zako kwa namna nyingine ili kupambana na hasimu wako kuliko aibu hii ibayoikumba hadi ofisi yako nzima?
Nimuombe daktari bingwa wa maradhi ya akili pale hospitali ya taifa Muhimbili Dr Frank Massao aende kwa njia ya dharura kumsaidia huyu mtu ili kuinusuru afya ya akili yake pamoja na familia yake kwa ujumla, hapa mtu anaumwa sio hali ya kawaida hii. Kuna wakati mwingine mtu unaweza kufikiria huenda labda ni hali ya ujana,Lakini kwa upeo wangu sidhani kama kijana mwenye akiki timamu anaweza kufanya tukio kama hili.
Lumumba zeroes mnajionyesha tuHakuna anayeumwa hata mmoja kisa matukio na maneno ya jamii ndiyo umuangaishe Dr Frank wa watu pale Muhimbili.
Paul Makonda hana dalili yoyote ya ugonjwa wa akili kwa vigezo vya kupima wagonjwa wa akili.
Ni mzima na Anafanya kazi kwa taratibu alizojiwekea mwenyewe ktk ofisi yake may be ambazo hazikufurahishi sana.
Kutembea na vyombo vya usalama tena wakiwa na silaha ni vitu vya kawaida tu ila inategemea ni kwa maeneo gani na kuna jambo gani na ni muda gani.
Tuacha siasa ktk kila jambo
Unawaza siasa tu basi.jibu hoja sisi hatuko ktk siasa kama unavyofikiriLumumba zeroes mnajionyesha tu