Kumbuka hapa ni Jukwaa la Tech na sio matangazo hivyo unapomwambia mtu aweke Kazi alizowahi kufanya na Bei tayari ni tangazo na umekataa PM.... Kazi yako haishindikani tatizo una masharti mengi na sijui hata kwenye maelewano mtafanikiwa. Site unayozungumzia haina tofauti sana na hii www.naij.com