soskeneth JF-Expert Member Joined Jul 2, 2016 Posts 583 Reaction score 235 Dec 7, 2016 #1 Hvi nini kifanyike kwenye hizi cm za manual flan labda Vodacom au tigo ambazo uaambiwa lain no 1 lazima iwe ya mtandao huo,, je ili uondokan na hlo tatizo LA kukataka utie lain ya mtandao huo wakti ww unataka utie lain yoyote,,? Ni hayo tuu
Hvi nini kifanyike kwenye hizi cm za manual flan labda Vodacom au tigo ambazo uaambiwa lain no 1 lazima iwe ya mtandao huo,, je ili uondokan na hlo tatizo LA kukataka utie lain ya mtandao huo wakti ww unataka utie lain yoyote,,? Ni hayo tuu
lucas mkata Member Joined Nov 28, 2016 Posts 12 Reaction score 4 Dec 8, 2016 #2 Apo mbaka huiflash...au huingize unlock codes ambazo zinapatikana baada ya kutuma imei namba za simu yako kwa wataalamu wa hayo mambo.
Apo mbaka huiflash...au huingize unlock codes ambazo zinapatikana baada ya kutuma imei namba za simu yako kwa wataalamu wa hayo mambo.
soskeneth JF-Expert Member Joined Jul 2, 2016 Posts 583 Reaction score 235 Dec 8, 2016 Thread starter #3 lucas mkata said: Apo mbaka huiflash...au huingize unlock codes ambazo zinapatikana baada ya kutuma imei namba za simu yako kwa wataalamu wa hayo mambo. Click to expand... Asante kaka
lucas mkata said: Apo mbaka huiflash...au huingize unlock codes ambazo zinapatikana baada ya kutuma imei namba za simu yako kwa wataalamu wa hayo mambo. Click to expand... Asante kaka