Wataaalam wa code, nahitaji mawazo yenu kutengeneza programu

Elishachupa

Member
Joined
Apr 26, 2021
Posts
15
Reaction score
5
Naomba mawazo nataka nitengeneze program ambayo itumike kuzuia watu wanaorudia research. Yaani research ikiingizwa ilete watu ambao wamefanya hiyo research.

Ina maana research zote zilizofanywa zitatunzwa ahlafu kama mtu akirudia basi program igundue
 
Tutaanza na ile research ya magu tuangalie kama mfumo wako uko accurate.
 

Unahitaji tuu Database yenye interface ya ku search by project title
 
Yaani tusimudhuie kuludia title hata kama akiludia title ila asikopi kila kitu kilichoandikwa na mtu aliyekeisha fanya hyo reserch
 
Mbona zipo interface zinazo check plagiarism. inaonyesha hadi asilimia ya Plagiarism. ,kila kitu kipo net, check em out,unaweza ona mapunguf ukayalekebisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…