mara zote, mzee huyu ni mjenga hoja na mjibu hoja, hata kama hayupo upande wako, anapohit point mkubalie kwa manufaa ya uelewa wako na taifa lako. pamoja na chama chako. usipokubaliana naye njoo jukwaani kwa ajili ya kumkosoa kwa faida ya uelewa wake, taifa lake na chama chake.