Wassira ni kiongozi bora!

Wassira ni kiongozi bora!

mtahengerwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
384
Reaction score
173
Kiongozi bora lazima awe na ushawishi kwa watu anaowaongoza! na huwezi kuwa na ushawishi kama hukubaliki! na huwezi kukubalika kama hawakuamini! na hawawezi kukuamini kama sio mwenzao! na huwezi kuwa mwenzao kama husemi au kusimamia maslahi yao!

WASSIRA! Watanzania wamekuamini, wamekukubali na wanakuita mwenzao! na sasa wanakutuma 2015 ukatetee maslahi yao kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
 
Mbona hajatangaza nia au anasubili Tukamshawishi? By JK
 
Kama watanzania wanataka maendeleo ya kweli na mtu sahihi zaidi,nadhani wasira anatufaa kama taifa.
 
Kweli watanzania wana imani nae sana wassira sijui ni kwanini?
 
Kiongozi bora lazima awe na ushawishi kwa watu anaowaongoza! na huwezi kuwa na ushawishi kama hukubaliki! na huwezi kukubalika kama hawakuamini! na hawawezi kukuamini kama sio mwenzao! na huwezi kuwa mwenzao kama husemi au kusimamia maslahi yao!

WASSIRA! Watanzania wamekuamini, wamekukubali na wanakuita mwenzao! na sasa wanakutuma 2015 ukatetee maslahi yao kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!

Ameshamalizana Na Wana Bunda?
 
Maelezo yako yana ukweli ndani yake.....tatizo ni hao WANACCM wenzake wanamuogopa kama ukoma.....sidhani kama watampitisha kuwa mgombea wao kwa tiketi yao ya chama
 
Sidhani kama kuna kiongozi kama WASSIRA wengi wa viongozi wetu sio wahalisia wanatuongopea kwa maisha ya kizalendo kumbe ukiwafuatilia ni mafisadi wakubwa! na wengi wao wanatumia vyombo vya habari kujisifihisha na kujisafisha! Kipindi hiki tutamtaka rais awe mzalendo wa kweli na mzalendo wa kweli tunae WASSIRA tu ikibidi tutaenda kumpigia magoti aokoe watanzania waliopoteza matumaini!
 
hajajitokeza km alivyosema JK je huyu mh, hana HASIRA? Maana huwa naomwona km anaweza kufyeka mtu shingo akikasirika.
 
Mmmmh$ wasira huyu huyu alieharibu hali ya hewa kwenye sakata la kuchinja ng'ombe??
 
Mmmmh$ wasira huyu huyu alieharibu hali ya hewa kwenye sakata la kuchinja ng'ombe??

Hakuharibu bali aliumaliza mgogoro huo akawapatanisha na sasa wanaishi kwa kuheshimiana kama walivyokuwa mwanzo
 
Back
Top Bottom