Wassira Live ITV

Wassira Live ITV

Lilambo

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2013
Posts
2,523
Reaction score
207
Mheshimiwa waziri Wassira yuko live ITV muda huu katika kipindi cha maswali na majibu.
 
Bora kuangalia jeneral on monday chanel ten kulko kumwangalia wasira teh teh
 
Kwani hiki kipindi hamna watu wengine......si watafute hata wahadhiri wa vyuo vikuu...
 
Ninachopenda zaidi ni swali akiulizwa, majibu yake lazima CHADEMA itajwe wakati ataswali alihusu chadema.......

Nimeamia channel ten sasa.
nimekamatwa na hasila.
 
Ninachopenda zaidi ni swali akiulizwa, majibu yake lazima CHADEMA itajwe wakati ataswali alihusu chadema.......

Nimeamia channel ten sasa.
nimekamatwa na hasila.

kwa sababu hautaki CHADEMA iguswe au tatizo nini?
 
Anaongea masuala ya Kitaifa ...
Yeye ni waziri, sasa ulitegemea ataongea masuala gani yasiyo ya kitaifa? Vitu vingine havipaswi hata kuandikwa kwa kuwa viko obvious
 
nasikia ooh anazingumzia cdm mara wengine masuala ya kitaifa. anaongea nini huyu mtu itv?
 
Huu upuuzi wa propaganda huu unaudhi kweli kweli
Ningekuwa na uwezo ninge kunyang'anya hiyo Sir name yako, mbuluras.
Anachoongea Wassira hapo ITV wewe hata upewe miezi minne huwezi kudeliver.
Acha Rais wetu ateme madini.
 
Siku hizi ameanza kujichubua? Mbona mikono mieupe haifanani na uso wake?
 
Ninachopenda zaidi ni swali akiulizwa, majibu yake lazima CHADEMA itajwe wakati ataswali alihusu chadema.......

Nimeamia channel ten sasa.
nimekamatwa na hasila.



Kutokwa na povu ni kawaida ya viongozi wa CCM, na hii inaonyesha jinsi walivyo na uwoga na kunyang'anywa nchi na upinzani.
 
Hiki Kipindi hakina mvuto tena, karibu kila siku anawahoji viongozi wa serikali hususani waziri, makada wa CCM tu, halafu anarudia rudia kuwahoji watu wale wale tu, bado sioni maswali magumu hususani Specific Question hakuna kabisa.

Ukichunguza kwa makini utadhani mtangazaji alishaandaa maswali na kumpa muhusika kabla ya siku ya kumuhoji au Mhusika ametengeneza maswali na kumpa mtangazaji ili aje kumhoji.

Baya zaidi hicho kipindi ni recorded hivyo kinahaririwa sana kabla ya kurushwa hewani, hivyo sio realistic.
 
Back
Top Bottom