Polisi walikuwa wa taarifa sana, wanakanusha ili kukwepa lawama kuwa hawakufanya chochote, hawajui kuwa kukanusha kwao kunazalisha kosa jingine la kufanya mkutano bila kuarifu polisi. Hii inaonesha kuwa wamepewa muongozo wa kukanusha na ccm, maana wao ndio huwa wana ruka mk.. wanakanyaga ma..i