What about umri wa kama Kingunge ,Sumaye Lowasa na wengineo ambao wanataka kwenda ikulu kwa sasa. wana tofauti gani nao. Kama ni sheria iwe kama msumeno. Ikate pande zote. Mnadhani upinzani hatuna wazee. Mnajidanganya. Kwa hiyo tuseme kama hawafai iwe kwa wote. Acheni ujinga