Kupigwa picha kuna maana you are a public figure, and for that matter everyone is interested with anything that you do no matter how small it might beHeshima kwenu Wana JF
Kulikuwa na mjadala mzito kuhusu nini kilimkuta Wassira juzi mpaka kutaka kumpiga mpiga picha wa gazeti la mwananchi.
Wassira mwenyewe amefunguka
View attachment 325721
mbona alipopigwa picha bungeni akiwa amesinzia wakati bunge inajadiliwa hakupatwa na hasira?
hakupatwa na hasira?? alitema cheche mbaya, akawaita Mwananchi communications kuwa ni wachochezimbona alipopigwa picha bungeni akiwa amesinzia wakati bunge inajadiliwa hakupatwa na hasira?