Nguruka one
Member
- Mar 12, 2015
- 7
- 0
Jumla ya wakuu wa wilaya 3 na baadhi ya wasomi kadhaa ni miongoni mwa wagombea 13 waliojitokeza kuomba ridhaa ya kuchaguliwa na chama cha mapinduzi kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu mwezi October mwaka huu, wakuu hao wa wilaya ni:-
1. Gulamhussein Kifu - Mkuu wa wilaya Mbarali
2. Manju omari Msambya - Mkuu wa wilaya Ilemela
3. Hasna Soud Mwilima - Mkuu wa wilaya Arumeru
Baadhi ya wasomi waliojitokeza katika kinyang'anyiro hicho ni pamoja na wakili wa Mahakama ya rufaa na mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya Kigoma Mhe, IDD Ndabona, pia yumo injinia SIRRO, na Msomi maarufu aishie anayefanya kazi nchini Utuki Bw Ally Kalufya.
wengine ni:-
- January Kizito - Afisa manunuzi wa Halmashauri ya Uvinza
- Waziri Morisi - Katibu tawala - Kahama
- Nashon Bidyanguze - Mfanyabiashara Kigoma
- Kalimanzila
- Dr. Shemasy
- Mwl. Dismas Malele - Afisa maendeleo wilaya Kigoma
- na Thomas Sangai - Katibu Tarafa Nguruka.
1. Gulamhussein Kifu - Mkuu wa wilaya Mbarali
2. Manju omari Msambya - Mkuu wa wilaya Ilemela
3. Hasna Soud Mwilima - Mkuu wa wilaya Arumeru
Baadhi ya wasomi waliojitokeza katika kinyang'anyiro hicho ni pamoja na wakili wa Mahakama ya rufaa na mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya Kigoma Mhe, IDD Ndabona, pia yumo injinia SIRRO, na Msomi maarufu aishie anayefanya kazi nchini Utuki Bw Ally Kalufya.
wengine ni:-
- January Kizito - Afisa manunuzi wa Halmashauri ya Uvinza
- Waziri Morisi - Katibu tawala - Kahama
- Nashon Bidyanguze - Mfanyabiashara Kigoma
- Kalimanzila
- Dr. Shemasy
- Mwl. Dismas Malele - Afisa maendeleo wilaya Kigoma
- na Thomas Sangai - Katibu Tarafa Nguruka.