Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,735
- 76,360
Tatizo kila jambo baya wanasingizia bangi! Wengine matatizo yao wenyewe na akili zao, isihusishwe bangi.Unataka kusema kua bangi siku izi imepanda thamani kias hicho aisee?
Tatizo kila jambo baya wanasingizia bangi! Wengine matatizo yao wenyewe na akili zao, isihusishwe bangi.Unataka kusema kua bangi siku izi imepanda thamani kias hicho aisee?
Watu wa Chato kila kitu wanajua wao wanakua kituko sasaElimu haina mwisho hapa me sijaelewa kabisaView attachment 1695679
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Uko sawa. Hivi umeshatokaga Havard tangu ile siku unafundisha Combinatorics!???Sawa prof. Balanciaga nshafika hapo nadhani inaeleweka kwenye hasabu kuna aina tano za O kwenye neno school hiyo o yakwanz ni aina ya tano na hiyo ya pili ni yapili hata hivyo zinatofautiana kwenye uandishi kama hivi OO hapo ni aina ya tatu na nne ya O kwaiyo unapo changanya is wrong sawa nakaribisha maswali.
Ni kwamba hizo O ziko mbili, ya kwanza yaani O1 na ya pili, yaani O2. Kwa hiyo unatakiwa usizibadilishe nafasi na kuziweka kwenye nafasi ya tofauti, yaani usiziswap. O1 inatakiwa iendelee kubaki pale pale na O2 nayo pia vile vile!Elimu haina mwisho hapa me sijaelewa kabisaView attachment 1695679
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Umetoka nje ya madaWatu wa Chato kila kitu wanajua wao wanakua kituko sasa
Hata Mimi nimetoka bila bilaYani sijaelewa chochote ko hii mada hainihusu ngoja nikae pemben au unasemaje mzee?
Siyo number, ni digitThe first O should be a letter, and the second O should be a number
Hizi ndizo explanations zinazohitajika sasaNi kwamba hizo O ziko mbili, ya kwanza yaani O1 na ya pili, yaani O2. Kwa hiyo unatakiwa usizibadilishe nafasi na kuziweka kwenye nafasi ya tofauti, yaani usiziswap. O1 inatakiwa iendelee kubaki pale pale na O2 nayo pia vile vile!

Ivi digit kwa kiswahili ni ninii?Siyo number, ni digit