Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Ahsante mheshimiwa kwa kuahidi kufuta deni...
Haya wasomi mwenye macho haambiwi tazama
Ahsante mheshimiwa kwa kuahidi kufuta deni...
Haya wasomi mwenye macho haambiwi tazama
Mzee Mwanakijiji tunahitaji episode ya 3.
Pia huku nilipo watu wanaandamana walalamika kuwa dakika 10 hazitoshi...kila episode iwe na zaidi ya dakika 50
Mzee Mwanakijiji tunahitaji episode ya 3.
Pia huku nilipo watu wanaandamana walalamika kuwa dakika 10 hazitoshi...kila episode iwe na zaidi ya dakika 50
Hello Mwanamabadiliko Mwenzangu, Tarehe 25 Octoba ndo siku ya kulikomboa Taifa letu toka mikononi mwa maccm. WAPIGIE SIMU BABU NA BIBI, MASHANGAZI NA WAJOMBA, NDUGU JAMAA NA MARAFIKI wa Vijijini na Mijini waambie juu ya TAARIFA za UKOMBOZI HUU.
Wampigie KURA ✌EDWARD LOWASSA na WABUNGE na MADIWANI wa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR MAGEUZI na NLD tu.
Good news. Inashangaza sn nchi zinazotukopesha mara kibao zinatusamehe madeni lkn hatuoni tija ya hiyo misamaha. Kwa nn tusishangilie kwa lowasa kugusa maisha ya mtu mmoja mmoja badala ya chama cha majambazi????
HAPA NI MABADIRIKO TU
Naomba kumuahidi lowasa Mimi sio mwanasiasa ila kura ya mama yangu mke wangu wadogo zangu ninaosomesha na ndugu zangu nitapambana kufa na kupona wampe kura maana baada ya hapo hera nayokatwa nitakuwa nawatumia kule kijijini . Kwa mara ya kwanza naona umhimu wa uchaguzi tangu nizaliwe. Mungu mubariki Lowasa maana ananifanya kwa mara ya kwanza nipige kura ili nisamehewe 10,000,000. sina lingine zaid
Wasomi tushaamua kura zetu tutampa lowasa.