wanafunzi waliopokelewa/waliopewa kadi wako wapi na katika vyuo vikuu vipi. Hizo kadi ndio wanachama??*Kaimu katibu wa Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu* Ndg Daniel Zenda Leo amekabidhi kadi za Wanachama Uvccm 1500 kwa *katibu Hamasa Seneti ya Mkoa wa Dsm* Ndg Juakali kuwanya , Baada ya Mwamko mkubwa wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuunga mkono na kuvutiwa na Utendaji Uliotukuka wa *Rais John Pombe Magufuli* na Serikali yake ya Awamu ya Tano na kuamua kujiunga na chama anacho kiongoza *Chama Cha Mapinduzi* na Jumuiya zake.
Wana take comouflage tu ili mambo yaende freshLEO TAR 01/02/ 2018
*Kaimu katibu wa Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu* Ndg Daniel Zenda Leo amekabidhi kadi za Wanachama Uvccm 1500 kwa *katibu Hamasa Seneti ya Mkoa wa Dsm* Ndg Juakali kuwanya , Baada ya Mwamko mkubwa wa wanafunzi wa Vyuo Vikuu kuunga mkono na kuvutiwa na Utendaji Uliotukuka wa *Rais John Pombe Magufuli* na Serikali yake ya Awamu ya Tano na kuamua kujiunga na chama anacho kiongoza *Chama Cha Mapinduzi* na Jumuiya zake.
Imetolewa na
Uvccm Seneti Mkoa Dsm.View attachment 688746