Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 2,886
- 7,929
Asante kwa kunitetea mkuu.Wasomali wanalipa kodi na ni wafanyabiashara wazuri sana pale eastleigh wana mitaji mikubwa sana katembee uone BBS mall, last year nilikutana na msomali pale Jeddah corniche amezaliwa marekani na anaongea American English, ni watu wapambanaji na wanatoka sana kutafuta huko duniani ila wanatunza tamaduni zao.
Ubaguzi hata sisi tunao mkuu Ponjoro wa Kinondoni amedhalilishwa sana wiki mbili zilizopita, muhimu tuchangamane na jamii zetu ukishaenda kwa watu kubali kuonekana low profile.
Tuko pamoja sana mkuu.Asante kwa kunitetea mkuu.
lawama ,chuki rohombaya ,visasi inakua jadi ya mwafria.
mnalaumu watu kama wajinga mnakua na shida gani nyie wapumbavu???
Nchi yetu Tanzania ni primitive sanaa likija suala la ku- accommodate jamii za kigeni, wanataka tufanane ki utamadini, Kenya wa Somali wana wilaya wa bunge na viongozi wala wa Kenya hawana shida nao, Uganda wa somali wana sehemu yao inaitwa Kisenyi wapo wengi, kuna WaKongo, kuna Sudanese na Waganda hawana sahida nao kama wana tii saheria za nchi na wanashiriki uchumi wa nchi,......ila Tanzania sasa kiongozi moja wa kisomalia wa mpira wasomali
Hahaa, Ni nani aliyeandika hiyo historia, ofcourse ni Mzungu, Historia ya Afrika kama haikuandikwa au kusimuliwa na Mwafrika ni takataka tu. Niambie Nchi gani ya Ulaya ambayo historia yao iliandikwa na Mwafrika na wanaifuata ? Only in Africa.East Africa ndio kwao na sisi ndio wavamizi,
Wasomali na makabila mbalimbali ya Ethiopia, Eritrea etc ndio natives wa Africa Mashariki.
Wabantu, waarabu, Wahindi, Wairan etc hawa wamekuja baadae.
Kasome historia ya Raphta, ambayo ni empire ya Africa Mashariki karne ya 1 kwanza.
Makabila ambayo yana asili ya Huko Ethiopia na Somalia kama vile Wairqw, alagawa, Burungi na Gorowa ndio Yalikua yakiishi East of Africa
Na wa bantu na mapua yao kama baba leo warudi afrika magharibiHahhaah nashukuru mkuu kwa kutuinua sisi wenye damu ya cushitic people, hata kama hatujajenga kama kila mwana jf ila kumbe hapa east africa ndio kwetu.
Achana nao.Watakuletea kisirani chao halafu upate hasira "dubledublle"!Wadau, Mnasemaje kuhusu Wasomali na dharau zao towards locals, Kenya, Uganda, Tanzania, all over EA, hawataki kujifunza lugha ya Kiswahili, no Intergration ya aina yoyote, hawalipi kodi za biashara zao, wanazaliana kama Sungura, na hawana nia njema kwa taifa lolote linalowapokea,
hata huko Ulaya, Amerika, Australia watu wamechoka na Wasomali, na hivi sasa wanafanya jitihada kuchua bunge la Kenya na hatimaye Urais,
Sasa nchi yao hivi sasa si haina vita, si tuwarudishe kwao jamani,
Na mimi kinachonikera kabisa ni kwamba, Wasomali wanatamba na kuongea wazi wazi kuwa wao siyo Waafrika bari Waarabu.
Changieni hoja zenu katika hili ndungu zangu.
Wewe na jamii yako unaelalamika ndio muamke.Amka wewe, tazama hata nchi zilizoendelea zinazungumza suala la wageni ambao hawana michango kwa nchi zao, watu ambao hawachukui hatua zozote to intergrate na culture ya host nation. Hapa tunachangia hoja, hatulalamiki tu.
Raphta ipo kwenye Vitabu vya Eritrea, has nothing to do with Wazungu,Hahaa, Ni nani aliyeandika hiyo historia, ofcourse ni Mzungu, Historia ya Afrika kama haikuandikwa au kusimuliwa na Mwafrika ni takataka tu. Niambie Nchi gani ya Ulaya ambayo historia yao iliandikwa na Mwafrika na wanaifuata ? Only in Africa.
Poa poaTuko pamoja sana mkuu.
Kiongozi wetu hususani Nyerere alisha uua utamaduni wa mtanganyika na asili zetu, wanakuja kutushikisha kiswahili lugha ambao 60% ni kiaarabu, sasa tumeanza kuonea watu wenye tamaduni zao wivu loh, wewe unataka uoe Msomali ili iweje? Mbona pale waganda na Wa kenya wanaona kinyaa kuoa Wa Hindi wasomali au waarabu ni wachafu hawana nidhamu nk. jamii yako inakutenga, ni hapa Tanzania unakuta Myaha kuoa mu Hindi au Mchina anaona ni sifa, wakati kwa makabila mengine ni aibuWasomali wanalipa kodi na ni wafanyabiashara wazuri sana pale eastleigh wana mitaji mikubwa sana katembee uone BBS mall, last year nilikutana na msomali pale Jeddah corniche amezaliwa marekani na anaongea American English, ni watu wapambanaji na wanatoka sana kutafuta huko duniani ila wanatunza tamaduni zao.
Ubaguzi hata sisi tunao mkuu Ponjoro wa Kinondoni amedhalilishwa sana wiki mbili zilizopita, muhimu tuchangamane na jamii zetu ukishaenda kwa watu kubali kuonekana low profile.
Habari za mwanzaKwa ubaguz ni wabaguz hata wao kwa wao wasomal wanabaguana ndani ya makabila yao na hawapendi kuonekana ni jamii ya weusi πππ wakati ndio ilivyo wao ni weusi hata iweje ππ
Kiukwel wanajitahidi sana kwenye biashara na kufungua makampuni wapo vizuriWasomali wanalipa kodi na ni wafanyabiashara wazuri sana pale eastleigh wana mitaji mikubwa sana katembee uone BBS mall, last year nilikutana na msomali pale Jeddah corniche amezaliwa marekani na anaongea American English, ni watu wapambanaji na wanatoka sana kutafuta huko duniani ila wanatunza tamaduni zao.
Ubaguzi hata sisi tunao mkuu Ponjoro wa Kinondoni amedhalilishwa sana wiki mbili zilizopita, muhimu tuchangamane na jamii zetu ukishaenda kwa watu kubali kuonekana low profile.
Aisee wewe jamaa unawajua Wanyarwanda vizuri kuna kijiji huku kwetu walikaribishwa vizuri na ardhi wakapewa ,miaka mingi mbeleni wakaanza kudai tena ile ardhi maelfu kwa maelfu ni ya kwao.Shukrani kwa jeshi la magereza kuingilia kati.Sasa ukiwarudisha kwao na wewe ukarudishwa kwenu, na hao walio kurudisha kwenu wakarudishwa makwao nani atabaki hapa ni wazo huru tu..........tijifunze kuvimiliana na kustahimiliana wa Somali na wa tusi wa Rwanda hawana tofauti kubwa kwenye tabia zao za ubaguzi na kuua "host" wao ila tume ishi nao wanyarwanda mpaka leo hivo hivo na roho zao mbaya.
Wa zazibar ni Watamzania tu wakawaida hawana lolote jipya, ni kukosa utashi wa chama tawala kufanya zazibar kugawanywa mikoa tu mitatu ya Tanzania.Tuanze na Wazanzibari.
Wasomali siyo Waarabu wala Waafrika kwa maana ya race bali Wasomali. Ni Waafrika kwa kuwa wanaishi ndani ya afrika kama ambavyo hata amerika kuna Watu weusi lakini ni Waamerika na siyo Wazungu.Wadau, Mnasemaje kuhusu Wasomali na dharau zao towards locals, Kenya, Uganda, Tanzania, all over EA, hawataki kujifunza lugha ya Kiswahili, no Intergration ya aina yoyote, hawalipi kodi za biashara zao, wanazaliana kama Sungura, na hawana nia njema kwa taifa lolote linalowapokea,
hata huko Ulaya, Amerika, Australia watu wamechoka na Wasomali, na hivi sasa wanafanya jitihada kuchua bunge la Kenya na hatimaye Urais,
Sasa nchi yao hivi sasa si haina vita, si tuwarudishe kwao jamani,
Na mimi kinachonikera kabisa ni kwamba, Wasomali wanatamba na kuongea wazi wazi kuwa wao siyo Waafrika bari Waarabu.
Changieni hoja zenu katika hili ndungu zangu.
Grown ups hawawez kuwa kama unavyofanya wewe mkuu. Badilika,haitakupunguzia kitu kuwa thoughtfulTafute hela mbuzi wewe uache chuki...