jamani shule shule shule tatizo, unajua bora msomi ukiboa kuliko small education ikijifanya pumba, wasiwasi angeweza kuwa trained akawa mtangazaji mzuri maana hata kiingereza kinapanda, lakini tatizo kwenye ile radio hakuna training program wala trainer, kila mtu anajua sana hapa ndio tatizo sasa learning process inakuwa prematurely stopped, na hakuna mkubwa wa kuwaambia watoto wapite wapi, kila mtu anajina na ili mradi alikuwepo kwenye birthday ya Rais na waka chat nae kidogo basi hapo kila pembe ni ya mbuzi hakuna wa kumsikiliza yeyote