Wasiwasi juu ya Mwanangu

Veronica7598

JF-Expert Member
Jan 2, 2017
361
408
Wakuu habari za mishughuriko..

Bila kupoteza muda naomba ushauri wenu, najua humu ndani kuna madaktari na wenye uelewa juu ya afya ya uzazi.

Nina ujauzito wa miezi minne, awali ya hapo ujauzito wangu ulipokua na mwezi mmoja nilisumbuliwa sna Na ugonjwa wa kutoka uchafu ukeni Kama mtindi. Nikaenda bombo nikapewa Amoxylin na dawa za kutumbukiza ukeni lakin hali ikaenda nikamaliza doz baadae ugonjwa ukajirudia tena, nikapewa dawa tena lakini namshukuru Mungu nikapona kabisa....

Wasiwasi wangu ni hz antibiotics nilizo kunywa je! Hazita niletea madhara kwa mtoto alieko tumboni maana mimba yangu ilikua changa sna nikaugua ugonjwa huu.

Naomba wataalam mnipe ushauri dadaenu maana nawac wac nisijezaa mtoto mlemavu.
 
Naelewa Mkuu ila nimepitiwa nikajikuta nipo humu Mmu. Mnisamehe next ntakua makin ila kwa Mwenye uelewa wa mambo ya afya anisaidie
 
Ingekua vizuri zaidi ukamuuliza dokta ana kwa ana.

Pia wajawazito wawe na tabia ya kupima magonjwa mara kwa mara maana ugonjwa ukiulie kipindi cha ujauzito utakuja msumbua mtoto akizaliwa.
 
Vip wewe na yule uumpendaye bado mnalana tu au vip au unachepuka au unaruka siku za kuweka pessaries ukeni? jibu kwanza maswali yangu
 
Pole sana jaribu kuwa makini katika kipindi hichi cha ujauzito ukipewa dawa uwe unauliza je nisalama kwa hicho kiumbe
 
Wakuu habari za mishughuriko..

Bila kupoteza muda naomba ushauri wenu, najua humu ndani kuna madaktari na wenye uelewa juu ya afya ya uzazi.

Nina ujauzito wa miezi minne, awali ya hapo ujauzito wangu ulipokua na mwezi mmoja nilisumbuliwa sna Na ugonjwa wa kutoka uchafu ukeni Kama mtindi. Nikaenda bombo nikapewa Amoxylin na dawa za kutumbukiza ukeni lakin hali ikaenda nikamaliza doz baadae ugonjwa ukajirudia tena, nikapewa dawa tena lakini namshukuru Mungu nikapona kabisa....

Wasiwasi wangu ni hz antibiotics nilizo kunywa je! Hazita niletea madhara kwa mtoto alieko tumboni maana mimba yangu ilikua changa sna nikaugua ugonjwa huu.

Naomba wataalam mnipe ushauri dadaenu maana nawac wac nisijezaa mtoto mlemavu.

Uchafu kama mtindi kutoka ukeni inaitwa candidiasis, inasababishwa na fungus (candida albicans), na huwa inayobitiwa mara nyingi kwa topical antifungals ambazo unaweka ukeni...huhitaji antibiotics kwa hilo tatizo kwani si bacterial infection, unless kama daktari amenote co-infection ya fungus na bakteria.

Candidiasis hutokea sana kwa wanawake wajawazito kutokana na mabadiliko ya vaginal PH, Dr hakupaswa kukupa Amoxycillin.

Hata hivyo dawa za familia ya Penicillin (Amoxycillin ikiwepo) huwa hazina madhara kwa mimba changa hata watoto wachanga.

Ikitokea Candidiasis tena mchallenge Dr kama akikupa antibiotics, unless awe na sababu ya msingi.
 
Ukweli ni kwamba hakuna dawa iingizwayo ukeni na ikaleta mazala kwa mtt ayepo tumboni huo uchafu huwa una tolewa kwenye mfuko wa uzazi na baada ya kutoka 2 mfuko unajifunga yaani unaruhusu kutoka na co kuingiza kuwa na amani mpendwa.
 
Uchafu kama mtindi kutoka ukeni inaitwa candidiasis, inasababishwa na fungus (candida albicans), na huwa inayobitiwa mara nyingi kwa topical antifungals ambazo unaweka ukeni...huhitaji antibiotics kwa hilo tatizo kwani si bacterial infection, unless kama daktari amenote co-infection ya fungus na bakteria.

Candidiasis hutokea sana kwa wanawake wajawazito kutokana na mabadiliko ya vaginal PH, Dr hakupaswa kukupa Amoxycillin.

Hata hivyo dawa za familia ya Penicillin (Amoxycillin ikiwepo) huwa hazina madhara kwa mimba changa hata watoto wachanga.

Ikitokea Candidiasis tena mchallenge Dr kama akikupa antibiotics, unless awe na sababu ya msingi.
Nimekuelewa sana Daktari.
 
Back
Top Bottom