Zee la Arsenal1
Member
- Oct 8, 2018
- 8
- 19
"Juzi kwenye daladala za hapa mjini, katika story za abiria wakawa wanahoji juu ya ongezeko kubwa la ujenzi wa sheri.
Hoja yao kubwa ikiwa ni kweli biashara ya sheli inalipa kiasi hicho cha kurudisha mamilion ya pesa yaliyotumika kuhisimamisha kwa mda mfupi ..!!?
"Mwingine akahoji kua uenda wanajificha kwenye mgongo wa sheli kuepuka tuhuma za utakatishaji wa fedha lakn uenda kuna biashara Za ovyo nyingine wanafanya..""
"Hawakuishia hapo mwingne mfano unakuta mtu na duka Lakela nguo hata Mliman City,ukiuliza bei ya kiatu unaambiwa laki tano, suti laki sita, unajiuliza anauza ngapi kwa siku, imlipe yeye, mfanyakazi wake na kodi..!!? akasema wengi wanajificha humo lakn shughuri zinazowapa kipato haziwekwi wazi na ni za hatari...!!"
"Nilitaman niendelee kusikiliza lakn nilfika kituo nilchokua naenda ikabidi nishuke....!!
Hoja yao kubwa ikiwa ni kweli biashara ya sheli inalipa kiasi hicho cha kurudisha mamilion ya pesa yaliyotumika kuhisimamisha kwa mda mfupi ..!!?
"Mwingine akahoji kua uenda wanajificha kwenye mgongo wa sheli kuepuka tuhuma za utakatishaji wa fedha lakn uenda kuna biashara Za ovyo nyingine wanafanya..""
"Hawakuishia hapo mwingne mfano unakuta mtu na duka Lakela nguo hata Mliman City,ukiuliza bei ya kiatu unaambiwa laki tano, suti laki sita, unajiuliza anauza ngapi kwa siku, imlipe yeye, mfanyakazi wake na kodi..!!? akasema wengi wanajificha humo lakn shughuri zinazowapa kipato haziwekwi wazi na ni za hatari...!!"
"Nilitaman niendelee kusikiliza lakn nilfika kituo nilchokua naenda ikabidi nishuke....!!