LUCKSON MNYENGU
Member
- Mar 12, 2021
- 9
- 15
Tuliambiwaga tusiliyakaribie saa 12jioni eti majini huwa ndo muda wao kuja kujipumzisha..
Ahahahah we umetisha... Ila mi naimani wazazi wa zamani walikuwa werevu sana kwa maana asingekutishia hivyo hilo ua lisingestawi hata kidogo yangevunwa na kuchezewa na watoto mi nampa pongezi mama yako inaonesha ulikuwa mtundu mnooooooTuliambiwaga tusiliyakaribie saa 12jioni eti majini huwa ndo muda wao kuja kujipumzisha..