Mfano mataifa ya Afrika Mashariki yanatia aibu sana katika mchakato wa uchaguzi walau Kenya kuna misingi ya Haki na sio Tanzania wala Uganda na mataifa mengine ni kunaukandimizaji wa haki mkubwa sana katika kipindi cha uchaguzi!
Ukoloni mpya unazidi kututawala wenyewe!
==============
Inaelezwa kuwa huko Uganda, wasimamizi wa uchaguzi waliowatangaza wagombea wa upinzani kushinda nafasi za ubunge au udiwani (councillor) wamekamatwa na Polisi na kupewa mkong'oto.!