Maisha ni bahati... jamaa hana CV kubwa lakini ndo kapewa wadhifa mzito...View attachment 2468235
View attachment 2468236
View attachment 2468237
Rais Samia amemteua Dkt. Moses Mpogole Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Kusiluka alikuwa Katibu Mkuu Ikulu.
Hiyo Cv siyo kubwa? Acha utani kijana.Maisha ni bahati... jamaa hana CV kubwa lakini ndo kapewa wadhifa mzito...
Nimemheshimu sana kwenye machapisho....
Hana CV kubwa kulinganisha na aliyeachia nafasi ama kwa nafasi yenyewe..Hiyo Cv siyo kubwa? Acha utani kijana.
Uko sahiii kabisa CV yake ya kawaida sana, kama Academician Fulani tuHana CV kubwa kulinganisha na aliyeachia nafasi ama kwa nafasi yenyewe..
Anyways ana machapiaho mengi but sijajua thamani yake pengine yanaweza kuwa rubbish kama ya akina profesa Ossoro.
Jamaa alivyosema CV ndogo hajaeleweka. Watu wanafikiri CV kubwa ni number of degrees! Mtu anaweza kuwa na degree moja lakini njia alizopita hata uwe profesa na machapisho mangapi humfikii.Hana CV kubwa kulinganisha na aliyeachia nafasi ama kwa nafasi yenyewe..
Anyways ana machapiaho mengi but sijajua thamani yake pengine yanaweza kuwa rubbish kama ya akina profesa Ossoro.
Wengi wetu CV hudhani ni academic certificates na transcripts kali kali...Jamaa alivyosema CV ndogo hajaeleweka. Watu wanafikiri CV kubwa ni number of degrees! Mtu anaweza kuwa na degree moja lakini njia alizopita hata uwe profesa na machapisho mangapi humfikii.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Unajua CV kubwa wewe?jamaa hana CV kubwa
Mkali sana kichwani huyu mwambaView attachment 2468235
View attachment 2468236
View attachment 2468237
Rais Samia amemteua Dkt. Moses Mpogole Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Kusiluka alikuwa Katibu Mkuu Ikulu.
Waaminifu wanyarukila la kheri ....mnyalu hope utafanya makubwa
CV ya aina hii unaweza ukampa mtu kuwa katibu mkuu kiongozi? Hata kwenye akademia bado hana kitu kichwani huyo!View attachment 2468235
View attachment 2468236
View attachment 2468237
Rais Samia amemteua Dkt. Moses Mpogole Kusiluka kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Kabla ya Uteuzi huo Dkt. Kusiluka alikuwa Katibu Mkuu Ikulu.