igaKijana wa mfano wa kuigwa.
Ha ha ha ww kwel ibilisijanuary 2017 ametenguliwa ukuu wa mkoa
Jamani wana JF kila ninaposoma naona maandishi yanayomuonya RC mpya wa Arusha kuwa akitaka kujua amuulize Mulongo yaliyomkuta Arusha. Naomba kufahamishwa Mulongo alikumbwa matukio gani Arusha ambayo hawezi kuyasahau.Kama anataka kuendelea kubaki Arusha, sharti ni moja, Aache kiherehere cha KiCCM na atulie na kufanya kazi kwa weledi sio kuwabugudhi wapinzani. La Sivyo hachukui Round hapa. Amuulize Mulongo!
Kama anataka kuendelea kubaki Arusha, sharti ni moja, Aache kiherehere cha KiCCM na atulie na kufanya kazi kwa weledi sio kuwabugudhi wapinzani. La Sivyo hachukui Round hapa. Amuulize Mulongo!
We km nani?!Kama anataka kuendelea kubaki Arusha, sharti ni moja, Aache kiherehere cha KiCCM na atulie na kufanya kazi kwa weledi sio kuwabugudhi wapinzani. La Sivyo hachukui Round hapa. Amuulize Mulongo!