Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wateule

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2010
Posts
390
Reaction score
368
Member of Parliament CV


Chanzo: Parliament of Tanzania

 
gamba wewe... tuwekee ya chenge, mwigulu,mkapa,ballali,karamagi,maige,mataka,kafumu,ndulu,werema,jaji wa kesi - lema na mpendazoe,pinda,nape...kisha tuambie cv zao zimeisaidia vipi nchi hii ....then peruuz na kudadis cv za lula da silva, abeid amani karume relate na michango yao kwa watu wao....
 
Hizi sredi za CV za wabunge mbalimbali siku hizi zimekuwa zikichipua kama uyoga vile hapa jamvini.
 
Akitaka kufanya vizuri kwenye siasa akasome umri unamruhusu, asikubali kushindwa na akina lyatonga, Hatutaki visingizio elimu hio ni ndogo kwa sasa

elimu ipi sasa,,,hiyo CV mbona haionyeshi kitu?
 
Mwigulu anasema Uslama wa Taifa ni chombo kitakatifu kisihojiwe kitu chochote, je hawapati fedha kuwokana na kodi ya Watanzania?
 
Fasheni hii. Unacopy cv ya mtu na kudelete contents na kupaste JF.
Unaonekana un a thread nyingi! kweeeeeeek!
 
Akitaka kufanya vizuri kwenye siasa akasome umri unamruhusu, asikubali kushindwa na akina lyatonga, Hatutaki visingizio elimu hio ni ndogo kwa sasa

hiyo cv sio sawa, coz Mh. Mbowe baada ya kuukosa Urais mwaka 2005, alikwenda Oxford kama sio Havard, aliposomea degree ya Utawala! ukiwauliza wanaokumbuka, watakukumbusha ni chuo gani hasa
 
Mtoa thread hajui maana ya CV - msamehe bure. Ila nasikitika nimepoteza muda wangu kuchungulia madudu haya!
 
Mi sio gamba. lakini ingia hapa uone CV zao. lakini usikate tamaa ya kuongozwa nao.
Parliament of Tanzania
 

Vipi unataka kuwaajiri?
 
watu wakiambiwa ukweli wanakuja juu..! yeye mwenyewe hajakanusha wala kuomba marekebisho kwenye tovuti ya bunge.Makuwadi kama kawaida ni kutoa mitusi kwa mleta uzi..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…