Wasichana wa sasa ni shida, kaomba asubuhi, jioni baby na mzinga juu. Nimekoma

Siasa Basi

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
1,493
4,280
Habarini ndugu zangu wana Jf. Twende moja kwa moja kwenye mada.

Katika pilikapilika za kutafuta maisha, kama mnavyojua usafiri wa Dar kero tupu, niko kituo cha Mbagala rang3 gafla gari ya Ubungo hiyo inaingia tukaanza kurukiana kama kawaida yetu kuwahi siti, gafla mtoto mrembo yuko mbele yangu akanipush ili yey apande nikaona ngoja nimwache atangulie kwanza.

Alipoingia akawahi kwenye siti ya dirishani na kulikuwa hakuna mtu nami nikafika fasta bila kuchelewa nikaa pamoja nae hapohapo kwenye siti iliyobaki ilikuwa ya watu 2. Nikamsalimia akavuga ajasikia, nami nikajikausha mara gari ikaanza safari, kimya kila mmoja anaongea na simu yake tu. Tumefika pale Tazara foleni hiyo.

Sasa konda akatufikia kutoa nauli, nikaingia mfukoni nikatoa waleti imeshiba nyekundu tupu, nikachomoa 10 nikampa koda akaniridishia cheji. Nae akatoe yake safari ikaendelea. Kumbe wakati natoa waleti akatupia macho.

Gafla kaanza mwenyew kaka vipi unaitwa nani....... Ok unakwenda........ Unafanya kazi gani......... Nami nikamuuliza akasema nasoma Mlimani mwaka 2 political science, nakaa pale mabibo hostel. Nikamuuliza na huku Mbagala umefuta nini sasa asubuh hii, akasema hapa Mbagala kuna wazazi wangu kila weekend nakuja kuwasalimia. Basi poa safari ikaendelea tukafika mabibo mtoto kaniomba namba nikampa, kashuka mi nikaendelea na safari yangu.

Niko kwenye shughuli zangu nikaona msg inaingia ya whatsap, mambo nikamjibu poa
...samhan umeo nikajibu bado, vip girlfriend sina kwanini.. ... ...mara anasema hata mi sina nikamwambia bac sawa, nikachomekea vipi tukiwa pamoja. Nilishangaa jibu lake fasta kajibu hata mi nimekupenda....... ....

Sasa jioni nimefika kwangu nimetulia na mke wangu gafla msg bahat mbaya mke wangu alikuwa na sim yangu anaperuzi akanip sim akasema kuna ujumbe
Kutazama nakuta ameandika Mambo vipi baby wangu, na sifa nyinginying sana za kipuuzi mwisho wa sentensi anasema baby samahan ATM yangu imemezwa kwa hiyo hapa sina pesa ya kula naomba unisaidie 10000 tu, ili nikapate cha jioni. Alafu kesho ndio nifuatilie kadi yangu.

Nilibaki kunguna tu my wife akauliza vipi, nikatulia. Sikumjibu chochote nilinyamaza mpaka sasa anapiga sim sipokei wala sijibu sms zake. Haw mademu wa sasa nishadaaaa.
 
Nirushie namba yake tafadhari.. Easy come easy go

Ila Anaishi Mbagala? mmh Hivi kuna watoto wazuri kweli Mbagala? maana wengi wakiashaanza kujitegemea wanahamia Sinza hata nyumba iwe mbovu karibu na bonde arimradi ni Sinza tu... Mpakani na Tandale
 
Ni Pm namba zake mkuu tusaidiane majukumu wameumbwa kwa ajiri yetu hawa watoto wa kike
 
Nirushie namba yake tafadhari.. Easy come easy go

Ila Anaishi Mbagala? mmh Hivi kuna watoto wazuri kweli Mbagala? maana wengi wakiashaanza kujitegemea wanahamia Sinza hata nyumba iwe mbovu karibu na bonde arimradi ni Sinza tu... Mpakani na Tandale
Mbagala sio ya zamani mkuu, warembo unaowataka wanapatikana huku. Watoto wazuri kwelikweli, ukitaka hata wanaojiuza wamejaa we mwenyew tu
 
Mbagala sio ya zamani mkuu, warembo unaowataka wanapatikana huku. Watoto wazuri kwelikweli, ukitaka hata wanaojiuza wamejaa we mwenyew tu
Ok Sawa nimekuelewa turejee kwenye Mada nipe Namba yake wengine mizinga sio issue vitoto vvya vyuo huwa vina raha yake na starehe ni gharama...

Mwenye namba ya Mtangazaji mrembo chudaa wa Jf Khadij anipatie tafadhari kuna maswali nataka nimuulize private
 
alafu hii style ya kadi kumezwa ndio imekuwa gear ya kupiga kibomu...wewe hapo hapo unatakiwa kumjibu na mie lakini nataka dushe imeswe na papuchi yako
 
Hahaha
Nirushie namba yake tafadhari.. Easy come easy go

Ila Anaishi Mbagala? mmh Hivi kuna watoto wazuri kweli Mbagala? maana wengi wakiashaanza kujitegemea wanahamia Sinza hata nyumba iwe mbovu karibu na bonde arimradi ni Sinza tu... Mpakani na Tandale
hahahah! Mkuu umeua. Kuna mmoja aliniambia anaishi Sinza ya Tandale. Sasa nkajiuliza sinza ya Tandale ni ipi?! Kumbe ni apo mpakani karibu na bonde
 
Nirushie namba yake tafadhari.. Easy come easy go

Ila Anaishi Mbagala? mmh Hivi kuna watoto wazuri kweli Mbagala? maana wengi wakiashaanza kujitegemea wanahamia Sinza hata nyumba iwe mbovu karibu na bonde arimradi ni Sinza tu... Mpakani na Tandale
Ahahah u'r killin dem buddy
 
Ungemsaidia tu kama ulikuwa nayo pengine hakuwa na hela kweli ya kula.

Afu hongera kwakuwa na waleti iliyojaa wekundu tupu.
Jamani huyu dada c tumeambiwa alikuwa anatoka kusalimia home so hakuomba kwa mama? biaaaaaach in Tupac voice
 
Hahaha

hahahah! Mkuu umeua. Kuna mmoja aliniambia anaishi Sinza ya Tandale. Sasa nkajiuliza sinza ya Tandale ni ipi?! Kumbe ni apo mpakani karibu na bonde
Mitaa mingine bwana kisa tu nawe uonekane unakaa mjini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom