amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 727
- 1,251
Habari wanajamvi,
Wanaume tuliowengi huwa tunavutiwa na sehemu mbalimbali za miili ya dada zetu. Kuna wanaume wanaovutiwa na maumbile kama vile makalio, kifuani, nk. Kuna baadhi tunavutiwa na rangi yaani weupe or weusi.
Kuna baadhi wanavutiwa na kimo yaani urefu au ufupi. Kuna wengine wanavutiwa staili ya mavazi. Pia kuna wengine wanavutiwa na tabia ya msichana bila kujali vigezo vingine yaani jinsi msichana anavyoumba maneno yake.
Je wewe kama msichana unavutiwa na nini kwa mwanaume unayehitaji kuwa mmeo?
Wanaume tuliowengi huwa tunavutiwa na sehemu mbalimbali za miili ya dada zetu. Kuna wanaume wanaovutiwa na maumbile kama vile makalio, kifuani, nk. Kuna baadhi tunavutiwa na rangi yaani weupe or weusi.
Kuna baadhi wanavutiwa na kimo yaani urefu au ufupi. Kuna wengine wanavutiwa staili ya mavazi. Pia kuna wengine wanavutiwa na tabia ya msichana bila kujali vigezo vingine yaani jinsi msichana anavyoumba maneno yake.
Je wewe kama msichana unavutiwa na nini kwa mwanaume unayehitaji kuwa mmeo?