Wasichana kueni waminifu

Wasichana kueni waminifu

Kwani wanaume ndo wapo loyal kwa wachumba zao au wake zao?
 
Haahaaaaaaa!usisemewasichana tu hata wanaume pia kueni waaminifu.
 
Pole sana kwa kusalitiwa, maisha yanaendelea
 
Wewe n mwaminifu kwa mwenza wako?? Au wajilalamisha tu hapa, nyie wanaume ndo mnaongoza uaminifu Z kabsa
 
Pole sana yaonyesha umetendwa, demu wako alikuwa Kigawe Kikubwa cha Shirika (KKS)
 
pole sana kamanda kwa kutendwa, ndivyo walivyo jaribu kuwazoea tuu
 
wewe mama yako muaminifu???
hujui wengine humu dada zetu,binamu,wapwa,shemeji zetu??
kuwa na adabu siku nyingine
 
Ahaah mnajitetea

sio kujitetea wanaume ndo chanzo cha matatizo katika swala la mahusiano.hata mpendwaje lakini kuwa na wanawake wengine ndo kawaida.toka nimeumizwa simwamini mwanaume yeyote yule maana naona wale wale kasoro majina tu.
 
sio kujitetea wanaume ndo chanzo cha matatizo katika swala la mahusiano.hata mpendwaje lakini kuwa na wanawake wengine ndo kawaida.toka nimeumizwa simwamini mwanaume yeyote yule maana naona wale wale kasoro majina tu.

Usigenaralize hivyo kwani ukiungua wakati unapika ndo inamaana siku zote utakuwa unaungua. Ukitambua kuwa hakuna binadamu aliekamilika hautabaki na mtazamo huo
 
Jaman mbna wanawake hawapo loyal kwa wachumba zao
Pole kwako au mtu wako wa karibu aliekumbwa na hili. Lakini ni vyema ungefunguka zaidi maana hoja yako imekosa nyama na uzito kama zile wa kujumuisha tabia za makabila fulani fulani. Kulitokea nini hadi kikakufanya ufikie hitimisho hilo?
 
Back
Top Bottom