Wasichana haya sio mambo badilikeni

Wasichana haya sio mambo badilikeni

Hiki kilio cha wanaume kunukishwa harufu kali za Mbunye kimekuwa kikubwa sana siku hizi. Kinamama vipi jamani?
 
Loo!na ukome ila kama unampenda
mpeleke hospital ina maana ana maambukizi
ya fangus kuliko kuja kumdhalilisha hapa.Angekuwa dada yako si ungempeleka hospital na kumtibu
Dada yake angemnusaje Mbunye? tudadavulie hapo....
 
Loo!na ukome ila kama unampenda
mpeleke hospital ina maana ana maambukizi
ya fangus kuliko kuja kumdhalilisha hapa.Angekuwa dada yako si ungempeleka hospital na kumtibu

haongelei mmoja hapo anasema kama watatu,sijaelewa tu hawa wote amekutana nao ndani ya muda gani?
 
hata wa humu jf baadhi yao wanaharufu kali" ila kwa kujiona maccta du ndo wa kwanza humu; badilikeni jamani
 
kwahiyo wapo humu?una hakika watapata habari na kuifanyia kazi humu??vp wewe sokx na kwapa safi?
 
Kuna baadhi ya wanaume pia wanakuwaga na harufu ya ajabu ukute boxer imevaliwa zaidi ya siku tatu na vuzi kama shamba la mchicha weee utatamani ukimbie
 
Back
Top Bottom