Mkuu umenena vyema kabisa.Psychology ya wanawake dictates kuwa wanatawaliwa na fantasies za mapenzi ambazo asilimia kubwa ya hizo fantasies never materialize. Utakuta mwanamke anataka ama kujipangia aje kuolewa na mtu tajiri ili ajikomboe kiuchumi ama kuwatambia wenzake kuwa kapata. Atakuja mwanamme wa kawaida (mfanyakazi) kuchumbia, demu atadengua kusubiri mwenye gari. Mwenye gari akimchukua na kumnyanyasa pamoj na kumuumiza roho yake kwa kuwa na mademu lukuki ndipo anakuwa na fuaraha ya majonzi ila kuishi kwa amani na mtu wa kawaida wanaona si halali, Kwao bora wateseke na kujiliza ndio poa.
sio bure maneno hayo, lazima utakauwa umepewa majibu mbofumbofu.
Hivi mnaona mwanamke kuzaa ni tatizo?ni mzigo? Wenye mawazo ya hivi sijui mnakuaga wagumba....Yani wapigwe pu.mbu na wazalishwe zaidi na zaid si wanajitakia
Kiboro dinda ni tabia tu ya mtu haijalishi mpole wala mkaliChunga sana wapole, atakula hadi mabest zako bila ya wewe kujua!
Chunga sana hawa watu!
Hivi mnaona mwanamke kuzaa ni tatizo?ni mzigo? Wenye mawazo ya hivi sijui mnakuaga wagumba....
Hivi mnaona mwanamke kuzaa ni tatizo?ni mzigo? Wenye mawazo ya hivi sijui mnakuaga wagumba....
Watu wapole mnakuaga hamna amsha amsha mara nyingi mnaboa
ila pole mwayego
Ooh kumbe umezalisha, we ni mkunga?Nina mawazo ya hivi mwenyewe nimezalisha,siwezi kumuoa kwa sababu nilimdanganya uhalisia wa maisha yangu ili nimpate,na nitaendelea kudanganya ili niwapate,najua Mwalimu wa wanawake alikuwa kipofu na ni marehemu,siwezi kuacha kuwatumia