mh pole sana mkuu ila unapaswa ujue hawa watu ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na uliopo wewe, ukiijua tofauti kubwa sana iliyopo kati yako na mwanamke utawatumia sana.
hawa watu wanatraits za kushangaza sana hasa kuhusu mapenzi,
ukiaenda serious ujue kumpata labda Mungu aamue lakini asilimia kubwa utapigwa chini wao ndo wanaamini kuwa UNAPRETEND!!!:A S confused:
ukijiweka kama pastor napo utapigwa chini hata kama washinda , wakesha ukisali utapigwa chini tu duh
ukienda hauko serious unaweza mla hata vice prezdent hawana chao hapo coz utadanganya kila kitu na yeye itakuwa ndiyo tu hatari kweli
inashangaza sana hawa watu ukifanya mistake moja at the beginning imekula kwako utapigwa chini tu hata kama unajielewa vipi
by the way hawa watu hata kama anamiaka 60 kwenye mapenzi ingia kama unatongoza under under 20 simple tu utatumia mno
jifunze kuwajua hawa watu hautakuja kulalamika jf tena.