Wasichana acheni kujisikia

Wasichana acheni kujisikia

Waziir Hamad

Senior Member
Joined
Jan 19, 2015
Posts
102
Reaction score
25
Habari zenu members.

Mi niko poa sana,ila kwa leo ningependa wasichana wote wa Jamii Forums wenye kujisisikia jirekebisheni,kama kujisikia kwako ni natural mistake basi punguza walau kidogo.

Kama ni za kuiga basi nakuomba acha kabisa,cause some other guyz hatuna muda mchafu wa kupoteza muda wetu na kuinvest katika mapenzi,inakutokea msichana anakwambia unaboa unamwamwambia poa kama hautaki kuboeka ngoja nifute tu namba yako.

Anasema futa tu kwani nini,mzee una delete then after few days anaanza kujitumisha text za kukuconvince ili umrudie,wengine tukisema "no" ni no kweli. Sometimes mnaji lostisha wenyewe kisa kujisikia kwenu,badilikeni.
 
Mh!!hivi humu kuna mademu kwani? Haya ngoja waje, nnachojua kuna wanawake,wasichana na wadada
 
Ukitumia neno madem manake umeishawagonga kibao na kuwaacha wengi,ebu tutajie mmoja mwenye nyodo humu ndani ya jukwaa hili.
 
kaka ata mie ishantokeaga mara nyingi sana afu unadelete kabisa namba ili ata usiwemtafute but zikipita siku mbili anakutafuta
balaa sasa liko unaidelete namba wakati umeikariri kichwani nalo shida

cha maan nyodo zipungue kwenu wadada ka unaona ka hana swaga we mchane tu ataelewa sio kurushana roho
 
wewe ndio mleta nyodo namba wahedi....
Nipo kinyume na utashi wangu,kwanini?

Started by Waziir Hamad, 20th January 2015 07:58
Habari zenu wadau.natumai hamjambo.

Hivi ni kwanini inatokea unajikuta mtu uko against your mind,unapingana na akili yako kivitendo,labda una mpango kwamba once ukipata nafasi umu aproach msichana fulani halafu inakutoka kabisa.

Msichana labda ushampa swaggz kwamba una shida nae,halafu anakuja kukuona huna mpango nae tena,hata nisipokuwa care vya kutosha najikuta hata girlfriend nilienae nampuuza,ni ubize wangu au? naombeni msaada najua nipo na great thinkers.
''kabla sijakupa mambo...si ulileta nyodo''da jo...
 
Dah! kazi kwelikweli, hii nayo nyingine!! inaonekana na mwenyewe nyodo, amezijuaje!!!
 
Back
Top Bottom