Washing mashine for sale



Hot point
Used miez.miwili imetumika kufua mara 4.
Kg 7 inafua na kukamua na kukausha.
Vyote vinaweza fanyika kwa wakat mmoja.
Bei 380,000

Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app


Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app
 
Inaonekana ni nzuri mkuu, kwanini unauza?
 
Mchumba wangu haitumii yeye anapenda kitu cha manual eti anaona inamzngua tu

Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app
Hahahaha kuna wakati utafika atahitaji tu esp. Uko na busy life, kazi,watoto, na hakuna mdada(msaidizi).
 
Hahahaha kuna wakati utafika atahitaji tu esp. Uko na busy life, kazi,watoto, na hakuna mdada(msaidizi).
Hapo nitanunua nyingine hata hizo mara nne nimeitumia mwenyewe kufua

Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app
 
Mchumba wangu haitumii yeye anapenda kitu cha manual eti anaona inamzngua tu

Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app


Sio jibu mchumba haitaki kwani tayari uko umemwoa? huenda hajui matumizzi yake mfundishe ataipenda sana.. niliwahi kuwa na jirani akawa ananimbia hapendi jiko la gas.. nikajagundua kumbe hajui kulitumia alivyojua tuu hakuwahi tena kutumia mkaa hata kwa kuchemsha harage
 
Nishamfundisha lakini yeye anapenda kitu cha manula so kwakuwa haina kazi nafasi inapokaa nahiyaji kwa matumizi mengine maa nina limited space

Sent from my SO-01F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…