Binadamu hatujawahi kuelewa, kuwa mchezo wa Kura Haujawi kuwa Fair. Chochote kinacho husisha kupiga kura hakijawahi kuwa FAIR.
Process ya Kwanza , wao wanakaa wanawaletea list. Vigezo gani wamefuata hadi kuwaweka kwenye list hatujui, ni nani aliwapendekeza wapi kwa njia Gani Sisi Hatujui.
Then booooom tunaletewa tuwapigie kura
halafu unataka FAIR kwenye kura zinazopigwa. Haiwezi tokea. Unless tuanzie mwanzo kupendekeza nani aingie nani asiingie.
Sasa mtu kama Lil Nax na Video yake eti anashinda Tuzo?