Washikaji yamenikuta...

Washikaji yamenikuta...

Kwa hiyo wewe ulitaka uambiwe direct hakutaki
 
Amigo go and fetch for another beautiful and trustful gal ....there are bunch of e'm out there....Stop crying for that chota chota puta pendejo,let her go amigo she ain't luv no more
 
Amigo go and fetch for another beautiful and trustful gal ....there are bunch of e'm out there....Stop crying for that chota chota puta pendejo,let her go amigo she ain't luv no more
Best advice ever...jamaa atakuwa huyo gal ni first love wake,kuna watoto wazuri achana nae tafuta mwingine (A woman is praised by beauty and youth nothing else)
 
Pole sana, jamani tufungue macho hata kama wanasema LOVE IS BLIND. mtu inafikia unatambulishwa kama KAKA alafu unaendeleza libenenke??????!!!!!! pressure nyingine tunajitakia wenyewe, mapenzi ni two way traffic kama hupendwi jua hupendwi na sio mwisho wa dunia. learn to live with it and as time pass utapona vidonda na kumpata uliyefanana naye.
NI HAYO TU.

R. I. P
 
mkuu huyo mtu achana nae huna haja ya kumtafuta katika simu tenda wema nenda zako huwezi kujua huyo aliyenae ametambulishwa kama nani kwa ndugu jamaa na rafiki zake utakuja kuumbuliwa na kupigwa na butwaa kubwa zaidi achana nae tu kuepusha shari wewe ni msomi kijaze zaidi katika taaluma yako achana na mambo hayo yapite kwanza utapata atakayekufaa msee
siku hizi mafataki wako wengi sana angalia usije ukalia na usomi wako umehangaika we mtu anakuja kukuharibia kwa dakika kadhaa tu

R. I. P
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom