Kuna baadhi ya wasanii ukisikiliza yimbo zao utagundua hazina maadili ya kumjenga mtu. Wakati mwingine nadiriki kusema wakafanyiwe uchunguzi wa akili; sio wazima. Tunataka nyimbo zenye mafundisho ndani ya jamii na
Hawa BASATA ifike pahala waingilie kati.
Tumechoka na nyimbo zisizo na maana
Sent using
Jamii Forums mobile app